Utatulia Lyrics


SUBMITTED BY: kiash

DATE: March 14, 2021, 5:23 p.m.

FORMAT: Text only

SIZE: 728 Bytes

HITS: 456

  1. [VERSE 1]
  2. Kiangazi masika ukiichanganya
  3. Vyote vikashuka kwangu vitanielemea
  4. Ntakosa pa kushika ntavavanya
  5. Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea
  6. Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri
  7. Fundi mitambo
  8. Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili
  9. Kuchoma changu
  10. Simtaki kafiri jangiri mwingi wa mambo
  11. Moyo akaukatilli
  12. Nikondeshe mwili
  13. Ajifanye rambo
  14. Si unajua
  15. Dalili ya mvua mawingu
  16. Ikitaka kunyesha
  17. Huwa yanatanda
  18. Nami si unanjua aah
  19. Nimeumbwa na wivu
  20. Kidogo tu presha
  21. Yanshuka yapanda
  22. Niahidi kama
  23. [CHORUS]
  24. Utatulia aaah Baby
  25. Niahidi kama (utatulia aaah)
  26. Hhhmm nisibaki nkashika tama
  27. Utatulia aaah Baby
  28. Niahidi kama (utatulia aaah)
  29. Hhhmm wasiniibie cha ngama
  30. https://tanzilyrics.com/lyrics/lava-lava-utatulia

comments powered by Disqus