[VERSE 1]
Kiangazi masika ukiichanganya
Vyote vikashuka kwangu vitanielemea
Ntakosa pa kushika ntavavanya
Wewe ndo mwandani wangu nliokuzoea
Ntunza vyangu visiri mwenye kunisitiri
Fundi mitambo
Kinga yangu ya mwili usiyelipa bili
Kuchoma changu
Simtaki kafiri jangiri mwingi wa mambo
Moyo akaukatilli
Nikondeshe mwili
Ajifanye rambo
Si unajua
Dalili ya mvua mawingu
Ikitaka kunyesha
Huwa yanatanda
Nami si unanjua aah
Nimeumbwa na wivu
Kidogo tu presha
Yanshuka yapanda
Niahidi kama
[CHORUS]
Utatulia aaah Baby
Niahidi kama (utatulia aaah)
Hhhmm nisibaki nkashika tama
Utatulia aaah Baby
Niahidi kama (utatulia aaah)
Hhhmm wasiniibie cha ngama
https://tanzilyrics.com/lyrics/lava-lava-utatulia